Mwezi mpya na mambo mapya. Kuanzia tarehe 13 Julai, tutakuletea kipindi kipya cha Divas & Hustlas. Kipindi hiki kitafuatilia wasanii wakubwa wanaoibuka jijini Dar es Salaam.
Tunawakutanisha na mastaa maarfufu jijini wakituleta maudhuhi yanayohusu maisha yao ya kila siku. Tutapata nafasi ya kushuhudia kazi zoa , maisha yao halisi, mafanikio yao , biashara zao, changamoto, wanazozipitia furaha huzuni na mengine chungu nzima. Fuatilia wasanii wafuatayo; Malkia Karen, Zee Cuty, Kontwana, Chino, MC Kitana, Reyjones. Ukitaka kujua jinsi ya kuishi kama Diva na Hustla na ambavypo wasanii wetu wanapambana kila siku na tasnia yao .
Basii hakikisha #MMBDivasAndHustas haikupiti kila siku ya Alhamisi saa 1 usiku ndani ya DStv chaneli 160!
Nyumbani kumenoga kunoga na Maisha Magic Bongo DStv 160 pekee #Niyetu!