Julai hii tutawaletea tamthilia mpya ya #MMBWimbi inatarajiwa kuanza tarehe 3 Julai;
KUHUSU WIMBI
Hii tamthilia hii iliyoangazia wivu, tamaa, mapenzi na migogoro ya kila aina , simulizi hili litazungukia katika jamnii yenye visa , Tiara binti anaeishi katika ndoa na mume wake James Pamoja na mama yake Biha . Baada ya familia ya James kugundua kwamba mali za wazazi wake zinamilikiwa na Tiara , Awali ya hapo Tiara alikuwa na mahusianona Hari lakini njama za wenye tamaa na mali wanafanikiwa mbaka kumpumbaza Tiara kiasi cha kupoteza fahaumu .
Je ni nini haswa kitaendela na ilikuaje Tiara akaolewa na James ilhali alikua na mahusiano na Harry na alipoteza vipi fahamu na mali zitaishia wapi?
Kaa mkao wa kula , na tukutane Julai 3 saa 4 Usiku ndani ya Dstv chaneli 160! Je utaangalia? Tuambie hapo chini 👇